Tuesday, July 19, 2016

JINSI YA KUSIMAMISHA SWALA


Baada ya Kuangalia Masomo ya awali maana ya Uslam, Nguzo tano za Uislam na Nguzo sita za Iman  pamoja na kuchukuaudhu , leo tunaangalia jinsi ya kushiriki swala ya Alfajir, Adhuhur,Alasir, Magharbi na Insha .


 Kwanza Kabisa picha hapo juu inaelekeza hatua saba muhimu zinazopatikana katika swala

Hapa nimekuletea clip inayoonyesha jinsi ya kusimamisha swala pamoja na kutia nia kiufasaha



No comments:

Post a Comment